top of page

G-Community

Post, SHARE, DISCUSS & COMMENT

Groups.jpg

✦ SAFARI YA UHAI ✦ ☀️ Mabadiliko ya Kweli ☀️

Public·32 members

_👽 THE BAD GIRLS 💔_

_EPISODE 3_

ree

Kuna hadi wengine walikua wamesimama kwa mlango yangu


Me : Hey excuse.. kindly nadai kuingia kwa hao

"Ooh we're sorry 😂"


Wakasonga kando nikaingia kwa hao. Ploti ilikua imejaa kelele na loud music hadi nikaanza kushindwa what's happening here😂. Nikashuku there's a party but sasa sijui ni nani anahost. Nilikaa hadi late night hapo 11pm. Nikazima lights nikadoz. Nikaamshwa na mse aki knock mlango. Kufungua napata ni Tara


Me : Yooh

Tara : Can i?

Me : Yeah sure kuja ndani


Tara akaingia kwa hao na hizo haga zake akachill kwa couch


Tara : Uko poa.. nimerudi tena😂

Me : Yeah niko fiti😂

Tara : I need a favor Vin

Me : Yaaa?

Tara : I was throwing a party for the girlies na wakakuja wengi than i expected na some hawana mahali pa kudoz

Me : Ooh🤔

Tara : Soo..i was asking kama unaweza kubali some wacrush hapa for the night then waishie kesho.. please.. okay najua nimekusumbua sana leo Vin but aki sina otherwise...Jake hayuko wangedoz kwake

Me : Kwani Jake hayuko hii ploti?

Tara : Yeah maybe ako kwa manzi yake I don't know😂💔

Me : Manze that'll be hard..ju unajua hao madem wamelewa wananuka tei sijui smoke ya weed watakuja kutapika hapa

Tara : Wenye naleta hapa wako decent siwezi kuletea walevi kwa nyumba..wenye wamezima wamedoz kwa floor huko hadi hawajielewi

Me : Mbona haungenishow unathrow party manze

Tara : Aaah Vin surely😂.. ilikua strictly ladies only hakuna boy alikua

Me : Mbona?

Tara : Well, ni kama ladies night out..kitu kama hio..kuna mzinga imebaki by the way nakuletea

Me : Okay walete manze but next time inform me mapema jooh😂

Tara : Cool


Tara akakuja na Tina na madem wawili hapo na mzinga ya Jameson 🍾. Hao madem wote walikua wameiva sio mchezo ni mate tu ilikua inajaa mdomo😂💔.


Me : Finally we meet again😂

Tina : 😂😂😂

Tara : Okay Vin I'll leave you guys😂..mnaweza juana😂..guys this is Vin my handsome neighbor😂


Tara akatoka akaishia. Wakajirusha bed😂. Bed yangu ilikua 6×6 wakatoshea fiti hadi kukabaki na space ya mse moja. Nikachukua bedsheet nikatoka bedroom nikaishia kwa couch sitting room kudoz huko nikinyonya Jameson pole pole. Kiasi hivi dem moja akatoka bedroom .......


REACT 🫵

2 Views
bottom of page