_👽 THE BAD GIRLS 💔_
_EPISODE 4_

Kiasi hivi dem moja akatoka bedroom
"Hey are you okay?"
Me : Yeah I'm good
Akachukua tei yangu akapiga flash nikashindwa hapa kunaenda aje 😂.
"So tumeona ju bed iko na space biggy.. instead upigwe na baridi huku you can join us.. your bed is quite big😂"
Me : Aah zii mi nataka mkue comfortable huko..hapa mi niko sawa hata mi hudoz kwa hii couch nikiwa lazy kufika bedroom😂
"Nop..this is your house hauwezi lala kwa kiti"
Me : Well wacha nikam tujikunje huko😂..
Sikukua namjua jina but sikutaka kuuliza maswali mob. Nikamfata tukaingia bed nikadoz side ya mbele😂. Tina alikua huko mwisho. Huyu dem aliniita akaniwekea thighs zake thick kwa mgongo akiwa usingizi ama sijui alikua anajua kitu anafanya😂💔. Mi zilikua zinanifinya mgongo so nikasema wacha niziinue nizitoe. Kuinua akanisongea vizuri nikajua huyu anataka mkuu nitoe mzigo kwa boxer nimfanyie ile kitu😂🍆. Sikukua na CD kwa hao na siwezi risk na huyu stranger hata kama Pesh nilipima na macho nikaamua kuenda raw🍆💔. Hawa madem wa sherehe kidogo mambo yao haikuagi straight unaweza jipata na syphilis😂💔. Huyu manzi akaendelea kupress jooh hadi chuma ikajaa bed mzima ungethani nimefuga nyoka😂💔. Akanisongea fiti. Akaleta mkono akaniwekea kwa mabega akajifanya ako kwa usingizi😂💔. Nikasema huyu najua chenye anataka but siwezi mpea😂.
Tukadoz hadi morning. Drew naye alikam mapema than expected. 6.30 jamaa alikua kwa mlango
Me : Yooh ndo hio lapy
Drew : Alaa kwani unanifkuza😂.. alafu buda kwani kunaenda aje na hizi viatu za madem..kwani unapiga threesome
Me : Shhhh🤫..ni long story we ishia we'll talk
Drew akakimbia bedroom akachungulia akarudi😂
Drew : Eii buda si umeskia fiti bana na hata huwezi niita😂💔
Me : Nimekushow ni long story..ishia we'll talk bana wacha izo😂💔
Drew akatoka na lapy akaishia. Nikasema siwezi rudi bedroom. Nikaendelea kujipin Jameson yangu nikiwatch movie 🍿🎥. One of them akaamka akakimbia bathroom nikaskia akitapika😂💔. Na hii ndio ujinga sikua nataka ju vomits za pombe hunuka vibaya na sio rahisi hio harufu iishe kwa hao. Phone ikaring
Me : Wee Kim rada
Kim : Buda niko kwa noma hapa hebu nitumie punch hapo nikurefund Friday
Me : Mzee we huchelewa na doo manze sahi kwanza hata niko down
Kim : Wacha izo man😂💔..huskii nimeshikwa bana
Me : Kwani ulido🤔
Kim : We tuma punch bro tutabonga
Me : Kwa hii number ama
Kim : Yeah
Huyu sasa hukua kwa ngori kila siku😂. Hata sikumbiki kama hua ananilipa doo zote😂. Nikamjenga doo nikachill pale. Zangu zilikua zimeanza kushika vibaya sana😂. Nikakumbuka Tina alininyima number nikasema siwezi omba tena wacha ikae madem ni wengi😂💔. Wakaamka. Ule manzi alikua ananishika usiku alikua hadi anaogopa macho zipatane. Akapitia kando kando akavaa sneakers zake akatoka nje😂. Tina akakua wa mwisho ju sneakers zake zilikua za kufunga
REACT 🫵

